Rais Dkt. Mwinyi amempongeza Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM Taifa na Mlezi wa CCM Mikoa ya Kusini na Kaskazini Unguja Spika Job Yustino Ndugai.

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali Mwinyi amempongeza Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM Taifa na Mlezi wa CCM Mikoa ya Kusini na Kaskazini Unguja ambaye pia, ni Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Job Yustino Ndugai kwa ziara yake hapa Zanzibar. Rais Dk. Mwinyi alitoa pongezi hizo